• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Mail za Ofisi |
    • Malalamiko |
TARIME DISTRICT COUNCIL
TARIME DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Mali Asili
    • Kitengo
      • Teknolojia ya Habari na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Shughuli za Kilimo
    • Shughuli za Ufugaji
    • Shughuli za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango & Utawala
      • Elimu, Afya & Maji
      • Mazingira, Ujenzi & Uchumi
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopangwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Taratibu Mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za Shughuli Mbalimbali
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Kitengo cha Sheria

MAJUKUMU YA KITENGO CHA SHERIA KATIKA HALMASHAURI.

1. Kusimamia uendeshaji wa jumla wa Halmashauri , kuhakikisha sheria , kanuni, taratibu,miongozo mbalimbali ya serikali 

inazingatiwa katika uendeshaji wa jumla wa Halmashauri.

 2. Kusimamia na kushauri uendeshaji wa jumla wa vikao vya menejimenti, kamati za kudumu za robo mwaka na mikutano ya baraza kufuata kanuni za uendeshaji wa mikutano zilizopo pamoja na miongozo mbalimbali inayotolewa na serikali.

 3. Kusimamia masuala yote ya kisheria yahusuyo mashauri mbalimbali na mienendo ya kesi za Halmashauri katika vyombo vyote

vya kisheria zikiwemo mahakama ngazi zote (Rufaa, Kuu, Mkoa na Wilaya) na mabaraza yote (Ardhi na Nyumba,Usululisho na Uamuzi n.k).

 4.  Kusimamia mchakato wa maandalizi ya utungaji na au uhuishaji wa mara kwa mara wa rasimu za sheria ndogo za Halmashauri  zilizobadilika kisera  au kupitwa na wakati.

 5. Kusimamia utekerezaji wa sheria ndogo zilizotungwa  katika utekelezaji wa majukumu ya Halmashauri wa kila siku.

 6. Kutoa tafsiri ya sheria mbalimbali na elimu ya jumla kwa Umma na Watumishi kuhusu sheria-mama za Nchi na sheria ndogo.

 7. Kuyasimamia na kuratibu uendeshaji wa mabaraza ya kata katika Halmashauri.

 8. Kushauri taratibu za manunuzi na kufanya ukaguzi wa mikataba yote ya Halmashauri kabla ya kusainiwa.

Matangazo ya Kawaida

  • MAELEZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KWA SHULE ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME December 13, 2020
  • KUITWA KWENYE USAHILI UANDIKISHAJI NA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA July 30, 2019
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO August 02, 2019
  • TANGAZO KWA UMMA November 01, 2019
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA ENEO LA KUJENGA OFISI ZA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME KIJIJI CHA NYAMWAGA.

    February 17, 2021
  • Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Tarime kulipa deni la sh milioni 185 MSD.

    February 03, 2021
  • Mafunzo ya semina kwa waheshimiwa Madiwani kuwajengea uwezo wa kusimamia uwendeshaji wa halmashauri.

    January 19, 2021
  • MAAGIZO YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI ALIYOYATOA WAKATI WA ZIARA YAKE WILAYANI TARIME YATEKELEZWA KWA KISHINDO.

    May 21, 2020
  • Angalia Vyote

Video

KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA UJENZI KITUO CHA AFYA MURIBA.
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • strategic plan
  • Mfumo wa Kibali cha kusafiri nje ya nchi
  • Muongozo wa Mtumiaji Mfumo wa kibali cha kusafiri

Viungio Vinavyoshabiana

  • Government portal
  • TAMISEMI
  • HALMASHAURI WILAYA TARIME.BLOG
  • Taarifa za mshahara
  • Mfumo wa TANePS
  • Sajili mali iliyopotea

Idadi ya waliotembelea tovuti kidunia

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 GWF zimehifadhiwa