• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Mail za Ofisi |
    • Malalamiko |
TARIME DISTRICT COUNCIL
TARIME DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Mali Asili
    • Kitengo
      • Teknolojia ya Habari na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Shughuli za Kilimo
    • Shughuli za Ufugaji
    • Shughuli za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango & Utawala
      • Elimu, Afya & Maji
      • Mazingira, Ujenzi & Uchumi
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopangwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Taratibu Mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za Shughuli Mbalimbali
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Elimu ya Sekondari

IDARA YA ELIMU SEKONDARI

Idara ya Elimu ya Sekondari ni idara mpya katika Mamlaka za Serikali za Mitaa iliyoanzishwa rasmi Julai 2009, baada ya agizo la Mhe. Rais la mwaka 2008 alipokuwa anatangaza Baraza la Mawaziri. Kabla ya hapo Idara hii ilikuwa chini ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.

MAJUKUMU YA IDARA YA ELIMU SEKONDARI

 Idara hii ina majukumu mbalimbali, baadhi ya majukumu hayo ni:-

  • Kusimamia utoaji wa taaluma na michezo katika shule za sekondari katika Halmashauri.
  • Kusimamia utekelezaji wa miongozo mbalimbali inayotolewa na Serikali kupitia kamishina wa elimu.
  • Kuratibu na kuendesha mitihani ya ndani na ya kitaifa kwa shule za sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita.
  • Kusimamia utendaji kazi wa watumishi waliopo katika Idara na stahili zao
  • Kusimamia ukarabati, upanuzi wa miundombinu na utekelezaji wa miradi inayotekelezwa katika shule za sekondari kwa kushirikiana na idara zingine.
  • Kufanya makisio ya mahitaji ya walimu kimadaraja na kimasomo
  • Kuiwakilisha Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia katika Halmashauri kuhusu maswala ya Elimu ya Sekondari.
  • Kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu ya Sayansi na Teknolojia.
  • Kusimamia upanuzi wa Elimu ya Sekondari katika Halmashauri.
  • Kusimamia matumizi ya fedha za Elimu ya Sekondari na kuhakikisha zinatumika kama ilivyokusudiwa.
  • Kufutilia na kutathimini maendeleo ya Elimu ya Sekondari katika Halmashauri.
  • Kumshauri Mkurugenzi wa Halmashauri kuhusu maswala yote ya Elimu ya Sekondari.
  • Kusimamia haki na maslahi ya Walimu na Watumishi wengine walio chini ya Idara ya Elimu ya Sekondari.
  • Kuhimiza udhibiti wa nidhamu ya Walimu , Watumishi wasio Walimu na Wanafunzi wa shule zote za Sekondari katika Halmshauri.
  • Kuhakikisha kuwa shule zote za Sekondari katika Halmashauri zinainua ubora wa mazingira ya kujifunzia na kufundishia.
  • Kusimamia utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya Elimu ya Sekondari.

Katika Halmashauri ya Wilaya ya Tarime kuma jumla shule za sekondari 31 kati ya hizi, 29 ni za Serikali, 02 zinamilikiwa na taasisi za kidini. Aidha, kati ya shule 31 zilizopo katika Wilaya ya Tarime shule 03 zina kidato cha tano na sita ikiwa zote ni za Serikali.

Idara ya Elimu Sekondari inaundwa na vitengo viwili katika kutekeleza majukumu yake. Vitengo hivi ni kama ifuatavyo:-

  • Taaluma
  • Takwimu

IDADI YA WALIMU

Idara ya Elimu Sekondari ina jumla ya walimu 433 ikiwa walimu 338 ni wa Kiume na 95 wakiwa wa kike. Hata hivyo kati ya walimu hao 433, walimu 99 tu ndio wanaofundisha masomo ya Sayansi.

IDADI YA WANAFUNZI

Idara ya Elimu Sekondari inawanafunzi wapatao 10,259 ikiwa wavulana 6,171 na wasichana 4,088.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Machi, 2018 March 26, 2018
  • MPANGO WA KUSAJI NA KUTOA VTETI VYA KUZALIWA KWA WATOTO CHINI YA MIAKA 5 March 14, 2018
  • KUITWA KWENYE USAHILI November 10, 2017
  • TANGAZO LA USAHILI KWA NAFASI YA KAZI YA MSAIDIZI WA HESABU (ACCOUNTS ASSISTANT) September 22, 2017
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • WAKUU WA MIKOA TANZANIA, KENYA WAHAKIKI ALAMA ZINAZOWEKWA ZA KIMATAIFA

    April 21, 2018
  • WAKULIMA WA KAHAWA WATAKIWA KUPANDA MBEGU YA CHOTARA FUPI

    April 20, 2018
  • TANZANIA NA KENYA WAUNGANA KUHAKIKI MIPAKA YA KIMATAIFA

    March 27, 2018
  • WANANCHI KATA YA NYAMWAGA WAPATA ELIMU YA KINYWA NA MENO

    March 20, 2018
  • Angalia Vyote

Video

Simulizi za mabadiliko Shule ya msingi Ng'ereng'ere
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • strategic plan

Viungio Vinavyoshabiana

  • Government portal
  • TAMISEMI
  • E-Government Agency
  • watumishi portal
  • Sekretarieti ya Ajira
  • HALMASHAURI WILAYA TARIME.BLOG

Idadi ya waliotembelea tovuti kidunia

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Tarime town Bomani

    Sanduku la Posta: P.O Box 16 Tarime

    Simu ya Mezani: +25528-2690518

    Simu: 0758575738

    Barua pepe: ded@tarimedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 GWF zimehifadhiwa